Nimesikia mwenyewe baba akiniambia mwanangu ata iweje
Kushinda ni lazima
Nimesikia akisema ata iweje
Kushinda ni lazima
Mimi nimesikia mwenyewe baba akiniambia mwanangu ata iweje
Kushinda ni lazima
Iwe ni mvuaza haukujua kadiri yake
Katika yote alinihahakishia nishinde
Mimi nimesikia mwenyewe baba akiniambia mwanangu ata iweje
Kushinda ni lazima
Aliyeniambia ni yeye hajawahai shindwa kitu
Zamani nilikuwa ninaogopa kwa sasa siogopi
Ushindi ni lazima
Niliposemwa nililia kwa sasa silii
Ushindi ni lazima
Nilipotishwa nilitetemeka kwa sasa sitetemeki
Ushindi ni lazima
Nilipozingiziwa niliogopa mimi kwa sasa siogopi
Ushindi ni lazima
Aliyeniambia yeye ni yote katika yote
Ushindi ni lazima
Nimesikia akisema ata iweje
Kushinda ni lazima
Mimi nimesikia mwenyewe baba akiniambia mwanangu ata iweje
Kushinda ni lazima
Ameniambia nitazame mimi mwenyewe niko na wewe
Ushindi ni lazima
Mimi nimesikia mwenyewe baba akiniambia mwanangu ata iweje
Kushinda ni lazima
Amenihakikishia atakaye pigana nami
Ameshindwa
Mimi nimesikia mwenyewe baba akiniambia mwanangu ata iweje
Kushinda ni lazima
Halleluya halleluya